Staa
wa filamu za Kibongo Vincent Kigosi‘Ray’hivi karibuni alilitembelea
kaburi la swahiba wake marehemu Steven Kanumba Kinondoni,Dar aliyefariki
dunia April 7,mwaka jana.
Ray
alipost picha akiwa kaburini na kuandika kuwa ‘nilipita makaburi ya
kinondoni kumuombea ndugu yangu Kanumba The Great Mungu Ampumzishe Kwa
Amani. R.I.P STEVEN KANUMBA’aliandika Ray.
Ray amekuwa mmoja wa wasanii wanaolitembelea kaburi hilo mara kwa mara.
No comments:
Post a Comment