 Mkurugenzi
 wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Kushilla Thomas 
akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete jezi iliyosainiwa na wachezaji wote wa 
timu ya FC Barcelona Ikulu jijini Dar es salaam jana ikiwa ni kutambua 
mchango wake katika kuendeleza soka na ikiwa ishara ya kutambua 
ushirikiano wa kihistoria kati ya Castle Lager na FC Barcelona 
uliosainiwa hivi karibuni huko Camp Nou Hispania. Wanaotazama ni Meneja 
Mauzo wa TBL Kanda ya Kusini James Bokella (wa kwanza kulia) na Meneja 
Masoko wa TBL Bi. Natalia Celani (wa pili kulia). Na kushoto ni Meneja 
wa Castle Lager, Kabula Nshimo na Aggrey Marealle, Mkurugenzi wa 
Executive Solutions washauri wa mahusiano wa TBL. (Picha ya Ikulu)
 Mkurugenzi
 wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Kushilla Thomas 
akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete jezi iliyosainiwa na wachezaji wote wa 
timu ya FC Barcelona Ikulu jijini Dar es salaam jana ikiwa ni kutambua 
mchango wake katika kuendeleza soka na ikiwa ishara ya kutambua 
ushirikiano wa kihistoria kati ya Castle Lager na FC Barcelona 
uliosainiwa hivi karibuni huko Camp Nou Hispania. Wanaotazama ni Meneja 
Mauzo wa TBL Kanda ya Kusini James Bokella (wa kwanza kulia) na Meneja 
Masoko wa TBL Bi. Natalia Celani (wa pili kulia). Na kushoto ni Meneja 
wa Castle Lager, Kabula Nshimo na Aggrey Marealle, Mkurugenzi wa 
Executive Solutions washauri wa mahusiano wa TBL. (Picha ya Ikulu) 
  
  
 
No comments:
Post a Comment