
Katika ukurasa wake wa FACEBOOK, Mwanademokrasia huyo kaandika hivi: "Posho za kukaa (sitting allowances) kwa mwaka ni tshs 36m kila mbunge. Kwa miaka 5 ni tshs 182m! We lost the battle. Will we gratuity one?"
NOTE TAKE: kama ndio hivyo basi mwaka 2015 vijana wote watagombea ubunge maana hakuna watu wenye nia ya dhati ya kuwatetea wananchi, vijana wanamaliza vyuo hakuna ajira wala kutengenezewa mbinu ya ajira. Kumbuka mbunge ni mtumishi na ni wajibu wake kuwatumikia wananchi.
habari kamili ingia hapa:https://www.facebook.com/zkabwe
No comments:
Post a Comment