Pages

Translate

Friday 4 October 2013

WAKAZI WA MBAGALA WAANDAMANA BAADA YA KUGONGWA KWA MWANAFUNZI NA KUFARIKI JANA





 

Kamanda Engelbert Kiondo (wa pili kulia) akipokea maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Kizuiani, Mashaka Selemani (wa kwanza kushoto).

 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert Kiondo (wa tatu kulia) akiwa katika eneo la tukio.



 

Mojawapo ya matairi yaliyochomwa na wananchi.



Waananchi wakiandamana wakati wa vurugu hizo. 

 

Wananchi wakiwa eneo alipogongwa mwanafunzi.




wakazi wakiwa na mabango kuashiria kutaka matuta baada ya kutokea kwa ajali iliyosababishwa kifo cha mwanafunzi wa shule kufariki leo

polisi wa usalamam akiwatuliza wananchi walioshikwa na asira mbagalaleo




baadhi ya wakazi awakiwa wameweka mawe kuzuiia magari yasipite baada ya mwanafunzi kugongwa na kufariki leo mbagala

No comments:

Post a Comment