BI ELIZABETH JOHN AMBAYE AMEZAA NA MZUNGU 
Andre akiwa na mzazi mwenzie akimsihi aondoe shauri hilo mahakamani
                Andre akiwa na mtoto wake nje ya mahakama

ANDRE LAPIERRE (50) MFANYAKAZI WA MGODI WA BULHYAHULU 
Mzungu akitoka kusikiliza shauri lake chumba cha mahakama ambapo shauri hilo lilihairishwa mpaka tar 4.10.2013 ambapo alidhaminiwa na wadhamini wawili na fedha shilingi milioni moja
Raia wa nchini Canada ambaye ni 
mfanyakazi wa kampuni ya African Barrick Gold Bulyanhulu aliyefahamika 
kwa jina la Andrew Lapierre (50) amefikishwa mahakama  ya mwanzo Lunguya
 wilayani kahama mkoani shinyanga kwa kosa la kutelekeza mtoto kinyume 
cha kifungu namba 166 cha sura ya 16 aliyezaa na Bi Elizabeth John.
Akisoma makosa ya mtuhumiwa, hakimu wa mahakama ya mwanzo Lunguya Derick Masaga ameiambia mahaka kuwa Andre Lapierre mwaka jana alimpata hujauzito Elizabeth John (21) mkazi wa Kakola ambaye alizaa mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Mariam Andre, na kumtelekeza muda wote bila huduma.
Mtuhumiwa alikana kumtelekeza mtoto huyo na kuiomba mahakama hiyo iagize wakapimwe vipimo vya vinasaba (DNA) ili kubaini ukweli na vipimo vimethibitisha hilo.
Akisoma makosa ya mtuhumiwa, hakimu wa mahakama ya mwanzo Lunguya Derick Masaga ameiambia mahaka kuwa Andre Lapierre mwaka jana alimpata hujauzito Elizabeth John (21) mkazi wa Kakola ambaye alizaa mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Mariam Andre, na kumtelekeza muda wote bila huduma.
Mtuhumiwa alikana kumtelekeza mtoto huyo na kuiomba mahakama hiyo iagize wakapimwe vipimo vya vinasaba (DNA) ili kubaini ukweli na vipimo vimethibitisha hilo.
 

 
No comments:
Post a Comment