WANANCHI WAPEWA KICHAPO KIKALI NA MGAMBO BAADA YA KUMUUA PUNDA NA KUMTUPA MTONI HUKO MBEYA 
 Wakicharazwa viboko na mgambo baada ya kukamatwa.
 Fimbo hizo ni silaha walizokuwa 
wakizitumia kukaidi sheria bila shuruti na kujeruhi kila aliyewakaribia 
huko Chilulumo wilaya ya Momba mkoani Mbeya.
Watu wanaotuhumiwa kumwua punda na kisha kumtupa kwenye mto ambao 
wananchi wa kando kando wanayatumia maji yake kwa shughuli mbalimbali 
huko Momba, Mbeya, wamekamatwa na kuadhibiwa vibaya kwa kucharazwa viboko
 na  mgambo.
-Via Kalungula 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment