Pages

Translate

Tuesday 2 July 2013

RAIS OBAMA AONDOKA NCHINI TANZANIA KWA MTINDO HUU




Msafara wa Rais Barack Obama ukipita katika barabara ya New Bagamoyo katika eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam jana kuelekea Ubungo

  Gari ya Rais wa Marekani Barrack Obama,ikitoka kwenye kiwanda cha kufua umeme cha Symbion eneo la Ubungo kabla ya kuelekea uwanja wa ndege



 Gari ya Rais wa Marekani Barrack Obama,ikitoka kwenye kiwanda cha kufua umeme cha Symbion eneo la Ubungo kabla ya kuelekea uwanja wa ndege




 Akiwa anaelekea Airport tayari kwa safari ya kurudi Marekani

No comments:

Post a Comment