Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida, machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack Obama kwa kile kinachodaiwa kuwa haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za pesa.
" Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga 
kupiga hela ndefu sana .
"Bahati mbaya watu wake tuliokuwa tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale wa mikoani walizuiwa" Walisema akina dada hao.
  
Machungudoa hao wanadai  kuwa  kipindi cha Bush alipokuwa Rais ambaye alikaa 
nchini karibu wiki moja walinufaika sana ambapo wengi wao walijenga 
majumba kwa pesa za ziara ya Bush .
"Bahati mbaya watu wake tuliokuwa tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale wa mikoani walizuiwa" Walisema akina dada hao.
 

 
No comments:
Post a Comment