|  | 
| 
Abiria waliokuwa wanasafiri kwa basi la Sumry
kutoka Sumbawanga kwenda Mbeya jana walinusurika kifo baada ya basi hilo kuacha
njia katika maeneo ya kijiji cha Tamasenga Sumbawanga. | 
|  | 
| 
Kijana Peter Makwaya aliyenusurika katika
ajali akiwa amepatiwa matibabu na hali yake inandelea vizuri | 


Picha hizi zimepigwa kwa simu na kdadycool blog
 


 
No comments:
Post a Comment