Pages

Translate

Thursday 4 July 2013

KILA KUKICHA MBEYA AJALI SAFARI HII LAZIMA IONGOZE KWA AJALI


Abiria waliokuwa wanasafiri kwa basi la Sumry kutoka Sumbawanga kwenda Mbeya jana walinusurika kifo baada ya basi hilo kuacha njia katika maeneo ya kijiji cha Tamasenga Sumbawanga.

Kijana Peter Makwaya aliyenusurika katika ajali akiwa amepatiwa matibabu na hali yake inandelea vizuri


Picha hizi zimepigwa kwa simu na kdadycool blog

No comments:

Post a Comment