Pages

Translate

Saturday 22 June 2013

WAAMUA KIJINYONGA HADI KUFA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE


Mkasa huu umetokea huko Congo ..Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukuma la kujinyonga kwa kujininginiza kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo..Baada ya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga


No comments:

Post a Comment