 
 
Katika  hali  yakushangaza , mbunge  wa  mbeya  mjini  kwa  tiketi  ya  CHADEMA, mh.  SUGU  ameporomosha  tusi  zito  kwa  waziri  mkuu  wa  tanzania  ( mh. PINDA )  akidai  kuwa  Tanzania  haijawahi  kuwa  na  waziri mkuu   mpumbavu  kama  yeye..... 
Kashfa ya Sugu  limekuja  baada  ya waziri  mkuu  kuwaruhusu  rasimi  polisi  kutumia  nguvu  ya  ziada   kuwadhibiti  wananchi  kwa  kuwashushia  kichapo  ili  wazitii  sheria..... 
Kauli kama hizi zitaendelea kutolewa na kila anayejisikia kusema kwa kuwa Pinda nae alisema kama alivyosema 
Hili  ndo  tusi  la  mbuge  wa  mbeya  kwa  waziri  mkuu... 
 
  
 
No comments:
Post a Comment