Pages

Translate

Thursday 5 September 2013

KUMBE DIOMOND MWIZI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

BABA LEVO ALIA NA DIAMOND ADAI KUMUIBIA CHORUS YAKE NA KUTUMIA KWENYE NAMBER ONE.



Msanii Baba Levo ambaye pia ni moja kati ya wasanii wanaounda kampuni ya Kigoma Allstars amesema Daimond amemwibia chorus yake nakuimba katika wimbo wake mpya 'Number One' ambao umetoka hivi karibuni.Msanii huyo ameandika hivi katika ukurasa wake wa 'facebook'


No comments:

Post a Comment