Pages

Translate

Tuesday 20 August 2013

MWENYEKITI UVCCM MASHAKANI KUPIGWA CHINI



 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM(Uvccm) mkoani Arusha, Robinson Meitinyiku amepinga mpango wa baadhi ya vijana wa jumuiya hiyo wilayani Arumeru kukusanya saini kwa lengo la kumwondoa mwenyekiti wao. Vijana hao wa Arumeru wakiongozwa na Ally Majeshi wanakusasanya saini zaidi ya 50 kwa lengo la kumwondoa Mwenyekiti wao, Boniphace Mungaya kwa madai kwamba hafai. Meitinyiku alisema ofisi yake imepokea taarifa kuhusu kitendo hicho na tayari imeagiza suala hilo lirudishwe katika uongozi wa Wilaya ya Arumeru.

No comments:

Post a Comment