MTOTO Ashura Mustapha (7) mkazi wa Mwandege, wilayani Mkuranga, Pwani anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya ngozi tangu akiwa na mwaka mmoja.
Akizungumza na mwandishi wetu, baba mzazi wa mtoto huyo, Mustapha Makombe alisema: “Mwanangu anateseka sana jamani, ugonjwa ulianza kama malengelenge akiwa na umri wa mwaka mmoja tukawa tunakwenda hospitali ndogondogo lakini baadaye tukaamua kumpeleka Muhimbili ambapo tulipewa barua ya kutuelekeza kwenda CCBRT, kule ndipo wakagundua mwanangu ana kansa ya ngozi steji ya nne.
“Baada ya kuhangaika katika hospitali nyingi bila mafanikio, nikaamua kwenda Hospitali ya Regency (Dar) kuomba msaada wa kwenda kutibiwa India.
“Pale waliniambia nichangie shilingi milioni moja na laki tano kwa ajili ya tiketi na viza ili mwanangu akatibiwe India, hizo hela mimi sina. Naomba Watanzania mnisaidie hata kwa fedha za mitandao kwa namba 0769 517765 na 0715 424697 ili niweze kumpeleka mwanangu India akatibiwe,” alisema baba mzazi.
UMEZISOMA HIZI?
CHAMA CHA RAIS MUGABE CHAJITANG...
CHUMBA ALICHOPELEKWA ROSE NDAUKA...
NAY WA MITEGO AMPA MAKAVU ZITT...
"NDOTO ZANGU NI KUMPATA MWANAMK...
KUMBE BARNABA ALIMTEMA SHILOLE ...
MKE WA DR. SLAA AZUA TIMBWILI ...
AIBU: MKE AFUMANIWA AKIGAWA UROD...
MBUNGE WA CCM MTWARA AFUTIWA S...
"KESI DHIDI YA WAZIRI MKUU HA...
MBINU ZA KUPANGA JINSIA YA MTOT...
WAZIRI MKUU WA TANZANIA ASHITAK...
HABARI MPYA.....
TOP 10 YA HABARI KALI ZAIDI
-
Miezi michache baada ya kuvuja kwa video inayomuonesha mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maend...
-
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua ...
-
Katika hali isiyo ya kawaida, mwanafunzi mmoja wa kike wa chuo kikuu maarufu hapa nchini ametoa kali ya mwaka baada ...
-
Mwisho Mwampamba amegeuka mbogo na kufurumua matusi ya nguoni kwa Clous Fm baada ya kituo hicho kuanza kumjadili na kumch...
-
Maadili ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka kila kukicha hasa kwa watoto wa kike ambao wengi wao wamekuwa wakiendekeza ufaska wa ...
-
Kiongozi wa Kanisa la Greek Orthodox duniani, Papa Theodor’s II ameamuru kufungwa kwa ukumbi uliopo ndani ya eneo la kanisa hilo lililo...
-
Chumba cha hoteli ambacho Rose Ndauka alinaswa akiingia na dogo Nasry ambaye ni msanii wa bongo fleva, kimekutwa na kondomu...
-
Rose Ndauka au Aisha anaweza kuwa ameitia najisi funga yake baada ya kunaswa akiingia hotel moja iliyoko kinondoni jijin...
-
KAHABA mmoja katika mji wa Naivasha, jimbo la Rift Valley nchini Kenya amenusurika kufa baada ya kupewa kichapo kikali na makahaba...
-
Jana, Bongomovies.com imefanya interview kwa njia ya simu na mwanadada msanii Rayuu alaice Bungenzi kuhusiana na mambo mablimbali yanayoan...
BLOG ARCHIEVE
MOST POPULAR
.
TOPIC
- habari za kitaifa (4644)
- JAMII (2205)
- picha za utupu (226)
- BONGO FLEVA (132)
- BONGO MOVIE (121)
- magazeti (113)
- burudani (80)
- CELEBRATY (52)
- siasa (40)
- MICHEZO (22)
- FIESTA (14)
- CHADEMA (10)
- ccm (10)
- picha (10)
- habari za ktaifa (8)
- fumanizi (7)
- BSS (5)
- WASANII (5)
- maisha plus (5)
- MOVIE (4)
- featured (4)
- music (3)
- ngono (2)
- ngono tanzania (2)
- mchina (1)
- natafuta mchumba (1)
CELEBRATIES
- agness masogange
- aisha madinda
- amanda
- AMINA MOLLEL
- amini
- AT
- aunt ezekiel
- aunt lulu
- avril
- AY
- baby madaha
- BADRA MASOUD
- BEATRICE WA BSS
- bushoke
- bwana misosi
- Camp Mulla
- charles baba
- chriss brown
- chuchu hans
- dallas
- diamond
- DIANA EXAVERY
- DITTO
- Drake
- faiza ally
- frola mvungi
- goldie
- h baba
- HALIMA
- ISABELA
- isha mashauzi
- JACK WA MAISHA PLUS
- Jackline Wolper
- JAFFARAI
- Jay-Z
- JOKATE MWEGELO
- JOSE CHAMELEONE
- Justin Bieber
- KALAMA
- kanumba
- kanye west
- KIKWETE
- KLYINN
- Lady Gaga
- LEMA
- lennah
- linah
- LINEX
- LULU
- LULU MICHAEL
- martha
- MILOVAN
- miss tanzania
- Monica
- MR CHUZ
- MWANA FA
- NAJMA
- Nas
- ney wa mitego
- NICKI MINAJ
- nisha
- nora
- OBAMA
- OMMY DIMPOZ
- orijino komedi
- pah one
- prezzo
- PSQUARE
- RAYUU
- recho
- richie
- Rick Ross
- rihana
- ROMA
- rose muhando
- salha izrael
- saynag
- scorpion galz
- Selena Gomez
- shetani
- SHETTA
- shilole
- sintah
- SKAINA
- snura
- TID
- uwoya
- vengu
- Wakuvanga
- WANAUME FAMILY
- WAZIRI MKUUI
- wema sepetu
Chat Full!
|