Pages

Translate

Wednesday 3 July 2013

YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA GEORGE BUSH NA WAKE WA MARAIS



Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mke wake Mama Salma Kikwete wakizungumza na Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa George Bush wakati wa kikao cha wake wa Marais wa Afrika kinachofanyika katika hoteli ya Serena hapa Dar es Salaam.
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa George Bush muda mfupi kabla ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa wake wa Marais wa Afrika unaofanyika Serena hotel.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Marekani  Mheshimiwa George Bush wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa Marais na wakuu wa nchi za Afrika unafanyika Dar es Salaam kwa ufadhili wa Taasisi ya George Bush.  
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Marekani  Mheshimiwa George Bush na baadhi  ya wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika  muda mfupi kabla ya Rais Kikwete kuufungua rasmi mkutano huo kwenye hoteli ya Serena.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kkulia) Mke wa Rais wa Marekani, Michelle Obama (katikati) na Mke wa Rais Mstaafu wa Marekani, Mama Laura Bush, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa Marais barani Afrika unaofanyika kwenye hoteli ya Serena.



No comments:

Post a Comment