Pages

Translate

Tuesday 2 July 2013

UTUPWAJI WA VICHANGA MKOANI MBEYA WAKITHIRI

Kichanga kikiwa kimetupwa mto mita maeneo ya mabatini mjini mbeya
WANANCHI  MBALIMBALI WAKIWA WANASHUHUDIA KICHANGA HICHO


Askari polisi akiopoa kichanga mtoni
ASKARI WA JESHI LA POLISI AKIWA ANAKIWEKA KICHANGA HICHO NDANI MFUKO BAADA YA KUKITOA KUTOKA MTONI
hawa nao wanashangaa kichanga kilichoopolewa mtoni
 HUYU NDIYE MTOTO ALIYE BAINI  KUTUPWA KWA KICHANGA CHOONI ENEO LA STERIO KATA YA MAANGA JIJINI MBEYA
 MWENYEKITI WA MTAA WA MAANGA MARY MWANSANKINGA AKIWA HAAMINI TUKIO LILILO MTAANI KWAKE
 ASKARI WA JESHI LA ZIMA MOTO NA UOKOAJI WAKIHANGAIKA JUU  YA KUOPOA KICHANGA HICHO KUTOKA CHOONI
  wananchi wakisubiri kwa hamu ili washuhudie kama kweli kichanga kitaopolewa
 ASKARI  WAMEFANIKIWA KUKITOA KITOTO HICHO CHOONI NA KUBAINI KUWA NI  CHA JINSI YA KIUME
  Hawa nao wapigwa na butwaa
 ASKARI WA ZIMAMOTO BAADA YA KUOSHA KICHANGA HICHO AMBACHO  KILIZALIWA KATIKA UMRI WAKE
Wenye mioyo miepesi wakilia baada ya kushuhudia kichanga kilichoopolewa chooni
jeshi na polisi wa zima moto wakiondoka eneo latukio 
Nyumba hii ndimo mtoto alitupwa chooni


Swali la kijiuliza ni kwamba wanadamu tumetowa wapi moyo wa kikatili kiasi hicho mpaka kufikia hatua ya kutupa mtoto uliyemzaa mwenyewe chooni bila ya huruma. wengine watafuta kwa juhudi ni nani awasaidie ilimradi tuu wapate watoto lakini kumbe kinyume chaake ni kwamba wengine hupata na huwatupa bila huruma

No comments:

Post a Comment