 
 
My Hubby Henry Kilewo.
 Hapa kuna swala nahitaji kuliweka sawa, naamini tutaelewana fans zangu wote.
 Nimeolewa
 na mwanasiasa, mume wangu Henry Kilewo ni katibu wa CHADEMA mkoa wa 
Kinondoni, Ila mimi si mwanasiasa (nahudumia watu wote wenye vyama na 
wasio na vyama).
Nimeolewa
 na mwanasiasa, mume wangu Henry Kilewo ni katibu wa CHADEMA mkoa wa 
Kinondoni, Ila mimi si mwanasiasa (nahudumia watu wote wenye vyama na 
wasio na vyama). Our Wedding Day, Nikila kiapo, "KWA TABU NA RAHA"
Our Wedding Day, Nikila kiapo, "KWA TABU NA RAHA"
Muda nakubali kuolewa naye nilifahamu
 fika kuwa yeye ni mwanasiasa, Ila nitamsupport mume wangu kwa kazi yake
 aliyoichagua, siwezi kumwambia AACHE SIASA, Hilo kwa kweli 
HALIWEZEKANI, Hata yeye hajawahi hata siku moja kuniingilia katika kazi 
yangu ya kutetea haki za wanawake na maendeleo ya wanawake kwa 
ujumla(WANAWAKELIVE) na kuniambia niiache.
 Hubby Henry Kilewo kikazi zaidi.
Hubby Henry Kilewo kikazi zaidi.
Ila nina swali la kuuliza hapa "KILA 
MTU ANAPOPATA TATIZO KATIKA KAZI YAKE ANATAKIWA KUIACHA???" Mfano 
Daktari akipata tatizo katika kazi yake aache? Ama Mwalimu ama mtu 
yoyote yule kwa kazi anayoifanya akipata changamoto anatakiwa kuacha????
My family, Hubby Henry With Our Boys, Lincon na Linston.
Fans Wangu wote naamini mtakuwa 
mmenielewa na mtaendelea kuwa nami all the way, Msimamo wangu ni huu, 
Nitasimama upande wake na kuendelea kumsupport mume wangu Henry, SIASA 
ni kitu anachokipenda SIWEZI KUMWAMBIA AACHE.
 
 My Hubby Henry Kilewo akiwa katika shughuli zake za kisiasa.
My Hubby Henry Kilewo akiwa katika shughuli zake za kisiasa.
 
No comments:
Post a Comment