Pages

Translate

Thursday 20 June 2013

MBOWE, LEMA WAJISALIMISHA POLISI


Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema hivi sasa bado wanahojiwa na Polisi baada ya Kujisalimisha kutokana na Maagizo ya Polisi ya kutaka kuwahoji kuhusiana na Tukio la Mlipuko wa Bomu Arusha. 
  Habari kwa hisani ya chademablog.blogspot.com

No comments:

Post a Comment